enterior desgner
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 367
- 181
nyamaza tu waachie wale waleWadau hapo utaratibu wa pango kwa hiyo mall umekaaje. Kama unataka kupata eneo
Bonge LA tsn supermarket linafunguliwa hapo..!!
Kama ni lazima, then JK MALL ni bora. Hii nchi tuna urithi mkubwa sana wa majina kuendelea kutumia ya viongozi kila mahali.
ROCK CITY MALL ndo jina linaloswihi hasa ukizingatia ni ya kwanza ya kisasa Mwanza.
Rock City Mall pia linaendana na usasa na ujana wa jiji hilo. Na kiujumla jina Rock City ni kama limekubalika kuwa nick name ya Mwanza.
NAPINGA KUTUMIA HILO JINA LA 'JM KIKWETE MALL'
Biashara zitofautishwe na siasa za kipuuzi jamani, na nyie watendaji wa serikali acheni tabia ya kujipendekeza pendekeza, mmechaguliwa jina zuri kabisa la rockcity mnaanza kuleta vioja hapa...
Taarifa: Rock city mall iliopo maeneo ya Ghana Kirumba jijini Mwanza itaanza kazi rasmi tarehe 15/08/2015
Mabadiliko, kuanzia sasa nakuendelea itaitwa JM KIKWETE MALL, na sio ROCK CITY MALL kama ilivyokuwa hapo awali.
Biashara zitofautishwe na siasa za kipuuzi jamani, na nyie watendaji wa serikali acheni tabia ya kujipendekeza pendekeza, mmechaguliwa jina zuri kabisa la rockcity mnaanza kuleta vioja hapa...
Bonge LA tsn supermarket linafunguliwa hapo..!!
Biashara zitofautishwe na siasa za kipuuzi jamani, na nyie watendaji wa serikali acheni tabia ya kujipendekeza pendekeza, mmechaguliwa jina zuri kabisa la rockcity mnaanza kuleta vioja hapa...
nyamaza tu waachie wale wale
kama ushafungua hata kaduka mliman city may be unataka na branch mwanza. uliza tena tukuambie
Unamanisha wanaotaka kupangishwa ni lazima wawe tayari na maduka Mlimani City au hata sisi wadogo tunarusiwa!!! sijakuelewa vizuri Mkuu nini unamanisha..
Unamanisha wanaotaka kupangishwa ni lazima wawe tayari na maduka Mlimani City au hata sisi wadogo tunarusiwa!!! sijakuelewa vizuri Mkuu nini unamanisha..
That's ridiculous, you can't name a supermarket with President's name.
Wana shule zina majina yao mama salama kikwete sec skuli..yusuph makamba sec..bora hata zenji kuna majina asili Dole skuli..makunduchi skuli..kitopeni skuli.. manake haya majina ya wanasiasa hayana lolote la maana
kuna sehem mpaka m.60 kwa mwaka
sKwa hiyo hiyo Mall ni kwa ajili ya wawekezaji wakubwa tu...mimi nilidhani inakuwa kama Machinga Complex ya Dar es Salaam. Kumbe nimeingia chaka Mkuu.
s
same as mliman city but hii ni kubwa kuliko mliman city
mall inaitwa rock city mall na si vingnevyo pia mkumbuke out of dqt name ni east africa supermarket. imejengwa kwa pesa za waisan wa east africa