Sina idea kabisa nahitaji kujua kuandaaKazi za wahasibu hizo mkuu..
Kipengele gani ambacho huelewi kwenye zile sheet?
Kuna seminar huwa wanazitoa BOT fatiliia kwenye ofisi yako kama huwa mnapata mualiko kwa njia ya email.Sina idea kabisa nahitaji kujua kuandaa
Kama inawezekana naomba kesho jion uni brush nitakuwa na Internet na computerKuna seminar huwa wanazitoa BOT fatiliia kwenye ofisi yako kama huwa mnapata mualiko kwa njia ya email.
Ukiwa kwenye computer na iwe na internet naweza kuku brush kidogo upate idea