IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,333
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.
Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.
Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?
Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.
#magu 5 tena.
Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.
Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?
Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.
#magu 5 tena.