KESSY FRANCIS
Member
- Nov 9, 2011
- 42
- 11
Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya RNF, OMBENI MSUYA yenye makao makuu mkoani Dodoma Leo wamekabidhi msaada wa vitu mbalimbali katika maadhimisho ya siku ya polisi mkoa wa Dodoma. Mkurugenzi Mkuu amewaomba wadau wengine wa maendeleo kuendelea kulichangia Jeshi la polisi Tanzania ili liweze kutekeleza majukumu yake ya msingi ya kulinda raia na Mali zao.