Timor
Member
- Feb 4, 2009
- 48
- 32
Nimeisikitikia serikali kwa kuingilia na kuufunga mjadala wa mafahali wa ufisadi yaanai Regnald Abraham Mengi na Rostam Aziz.Interest ya serikali ni kuogopa kuumbuliwa kwa ajili ya ufisadi wa RA.Kwani inajua fika kwamba vita vya mshirika wake ni vita vya serikali ya CCM.Hata hivyo ni janja ya kunusuru kutajwa kwa mafisadi wengine wenye hisa ndani ya CCM.Swali langu basi wafunge mjadala wa DOWANS,EPA na wengine.Si imetaka watanzania tusijue juu ya mafisadi,basi na ufisadi HATUTAKI KUUSIKIA PIA WAELEWE HIVYO..
Mode usihamishe hii ni mada mpya!!
Mode usihamishe hii ni mada mpya!!