Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wakuu ndani ya CCM na UVCCM kuna tetesi kwamba mwane mkuu wa kaya, anaweza kupewa nafasi ya kuiliongoza taifa hapo 2015. Mzee Mtikila akitumiwa na mafisadi ameanza kumchafua huyo kijana ili kumuharibia kwani babayake na kijana amenza kumpigia mwanane kampeni za chini kitu ambacho kinawaumiza sana vichwa mapacha watatu wanamuona kama msaliti ya EL, RA na mzee wa vijisenti. hii imekaaje?