njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Habari njema kwetu mashabiki wa Rivers utd ya Nigeria, tumemsajili striker refu linalotisha liitwalo Nyimwa Nagua kutoka klabu kubwa ya kano pillars
hili jamaa liliwahi kupiga kona na kuiwahi kabla hajafika kwenye six yard likapiga kichwa lilishawahi kupiga shuti likavunja goal post, kuna kipa wa palteau utd alijifanya mbishi kudaka shuti lake akavunjika mkono na figo iliharibika kabisa. KARIBUNI TZ RIVERS UTD
Tarhe 11 pale uwanja wa taifa Rivers utd tuna jambo letu. GOD BLESS NIGERIA GOD BLESS RIVERS UTD
hili jamaa liliwahi kupiga kona na kuiwahi kabla hajafika kwenye six yard likapiga kichwa lilishawahi kupiga shuti likavunja goal post, kuna kipa wa palteau utd alijifanya mbishi kudaka shuti lake akavunjika mkono na figo iliharibika kabisa. KARIBUNI TZ RIVERS UTD
Tarhe 11 pale uwanja wa taifa Rivers utd tuna jambo letu. GOD BLESS NIGERIA GOD BLESS RIVERS UTD