Rivers United tumeuza mshambuliaji Sweden

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,663
IGWEEEE! Mshambuliaji wetu Godwin Aguda kasajiliwa na team ya Falkenberg inayoshiriki ligi daraja la kwanza huko Sweden,tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya ya kisoka

Vilevile Nitaendelea kuwajuza maendeleo ya team katika michuano maalumu ya kujipima nguvu inayofanyika huko Benin ambapo kuna teams kama Horoya na As vita zinazoshiriki

INBOX NA DM zinaruhusiwa kwenye page za club na wanachama kuwapa mbinu haramu zitakazotumika uwanja wa mkapa tarehe 12 September, nishaanza kufanya hivyo karibu week nzima kama umesikia lolote litakalokuwa na manaufaa kwa team yetu ya Rivers utd nitaarifu nitawafikishia

Godwin aguda.jpeg
 
Nigeria,hii nchi ya Nigeria inavipaji vya soka sana wanacheza mpaka ulaya huko kwenye ligi kubwa.Kanu,Okocha,Babayaro,Babangida,Olise n,k.
Sasa hao Rivers utd ni wadogo zao hao wachezaji nilio wataja hapo juu,dadadeki.
Daa noma sana, sisi wachezaji wetu sijui nani wa kuwatoa kwenye lindi la mpira usioeleweka jamani. Kwani ccm ikijitoa michezoni itapungukiwa nini
 
Nigeria,hii nchi ya Nigeria inavipaji vya soka sana wanacheza mpaka ulaya huko kwenye ligi kubwa.Kanu,Okocha,Babayaro,Babangida,Olise n,k.
Sasa hao Rivers utd ni wadogo zao hao wachezaji nilio wataja hapo juu,dadadeki.
Noma sana!

Ila cha kushangaza mara ya mwisho timu kutoka Nigeria kushiriki nusu fainali CAF ilikuwa miaka ya 90's huko.
 
Yanga wanajiaminisha kuwa wanaibomoa Simba kwa kumtumia Zeruzeru mkalia tako moja kwa kupita kwenye vituo vyoote vya radio na Television na leo wameanzia na Wasafi,wanaamini akishamaliza ziara hiyo basi watakuwa mabingwa kwa miaka sita mfululizo.
 
Noma sana!

Ila cha kushangaza mara ya mwisho timu kutoka Nigeria kushiriki nusu fainali CAF ilikuwa miaka ya 90's huko.
Ndo hao Rivers sasa wamepewa kazi na nchi kurudisha heshima.
pale kwa Mkapa Uto hamtoki,zimepungua basi tatu bila.
 
Nigeria,hii nchi ya Nigeria inavipaji vya soka sana wanacheza mpaka ulaya huko kwenye ligi kubwa.Kanu,Okocha,Babayaro,Babangida,Olise n,k.
Sasa hao Rivers utd ni wadogo zao hao wachezaji nilio wataja hapo juu,dadadeki.
Ndg kama hujui, Ligi za west africa, wachezaji walio wengi wanacheza nje.
Walioko ndani ni sawa tu na bongo, ndo maana ligi zao siyo kali kama za Waarabu hata ya kwetu hapa bongo.
 
Kwani wiki ya wananchi hao wachezaji wanaenda kufanya Mapenzi uwanjani?
Mkuu embu saa nyingine utumie akili kufikiria badala ya kutumia mahaba ya timu kujibu hoja.
1) Wiki ya mwananchi inafanyika pasipo kuwepo kwa wachezaji kadhaa ambao watakuwa na timu zao za taifa. Hivyo hakutakuwepo baadhi ya wachezaji muhimu

2) hata wangekuwepo wachezaji wote bado mechi moja ya wiki kwenye wiki ya mwananchi isingetosha kujipima nguvu maana hata ikitokea kuna mapungufu hautoweza kujua kama tayari yameshakaa sawa kabla ya siku ya mechi ya mashindano ili kujua ni lazima ujipime tena ujue.

3) wiki ya mwananchi hakuna mchezaji anayekuwa mbovu, kila mchezaji anakuwa kwenye kiwango bora. Unakumbuka akili za washabiki juu ya Michael Sarpong kwenye mechi ya wiki ya mwananchi? Watu walitegemea atafanya makubwa sana kutokana uwezo alionesha kwenye siku ya mwananchi.

Swala la kucheza tu mechi ya kujipima ubavu bali unazitumiaje hizo mechi za kirafiki kuimarisha kikosi chako kwa kucheza mechi moja tu tena bila kuwa na wachezaji wote?
 
Ndg kama hujui, Ligi za west africa, wachezaji walio wengi wanacheza nje.
Walioko ndani ni sawa tu na bongo, ndo maana ligi zao siyo kali kama za Waarabu hata ya kwetu hapa bongo.
Nini wewe sasa unaongea!!.
Subiri kazi ya Rivers utaiona kwa Mkapa.
Rivers nguvu moja.
 
Back
Top Bottom