VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo almaarufu kama RITA wameanza kusimamia mavazi ya heshima kwa wateja wa ofisi zao za Dar es Salaam. Getini,pale Dar es Salaam,wanaovaa mavazi yasiyo na staha( ima wanawake au wanaume) hawaruhusiwi kuingia kwa ajili ya kuhudumiwa katika Ofisi zao.Askari yuko makini na mavazi kwelikweli. RITA wameanza,nani atafuata?