Hawa wabunge wanakera sana, wanadhani watanzania ni mazezeta
huyu mbunge wa viti maalum, RITA KABATI, anasema tusifikiri posho wanazopewa wanatumia wenyewe, ila tunatumia wote kwani huwa wanazirejesha kwenye mambo ya kijamii, yeye binafsi ametumia milioni 34 kujenga kituo cha polisi.
My Take.
Msitumie hivo vimisaada vyenu kuhalalisha mamilioni mnayolipana, tena kutoka kwenye kodi zetu. Vituo vinatakiwa vijengwe kwa pesa ya kodi zetu, full stop.
Msiweke mazingira kana kwamba mnalazimika kutoa saaaaana kwa jamii hivyo mnastahili kulipana mamilioni, HAPANA! Inakera mnapodhani sisi hatuwezi kufikiri
huyu mbunge wa viti maalum, RITA KABATI, anasema tusifikiri posho wanazopewa wanatumia wenyewe, ila tunatumia wote kwani huwa wanazirejesha kwenye mambo ya kijamii, yeye binafsi ametumia milioni 34 kujenga kituo cha polisi.
My Take.
Msitumie hivo vimisaada vyenu kuhalalisha mamilioni mnayolipana, tena kutoka kwenye kodi zetu. Vituo vinatakiwa vijengwe kwa pesa ya kodi zetu, full stop.
Msiweke mazingira kana kwamba mnalazimika kutoa saaaaana kwa jamii hivyo mnastahili kulipana mamilioni, HAPANA! Inakera mnapodhani sisi hatuwezi kufikiri