My dream kufika huko..... japo nipaone ktk uhai huu !!!Njiani kama unatoka Mbeya kwenda chunya,ndipo ilipo HIGHEST POINT OF ALL TRUNK ROADS IN TANZANIA, pana ALTITUDE 2457m, LONGITUDE O8' 35 S na LONGITUDE 33' 25 E. Ukiwa hapo mzee kuna such a beautiful view of the rift valley, utaliona bonde la Usangu loote na Mbeya yooote, Pametengenezwa VIEW POINT nzuri itayokuwezesha kuona kwa uzuri.
Ukienda uende na camera kabisaaa, yani utafurahi mwenyewe. Uvae na koti kozi baridi ya pale si mchezo. In short kunae uzuri flani hivi amazing.My dream kufika huko..... japo nipaone ktk uhai huu !!!
io mji wa ma Mbeya upo kwenye bonde la ufaKwa hiyo mji wa Mbeya upo kwenye bonde la ufa ama?
Mkuu ahsante na God bless you.. hizo gear zote na zana zote zipo intact !!Ukienda uende na camera kabisaaa, yani utafurahi mwenyewe. Uvae na koti kozi baridi ya pale si mchezo. In short kunae uzuri flani hivi amazing.
Safi sana kwa Watanzania Elimu hiyoNjiani kama unatoka Mbeya kwenda chunya,ndipo ilipo HIGHEST POINT OF ALL TRUNK ROADS IN TANZANIA, pana ALTITUDE 2457m, LONGITUDE O8' 35 S na LONGITUDE 33' 25 E. Ukiwa hapo mzee kuna such a beautiful view of the rift valley, utaliona bonde la Usangu loote na Mbeya yooote, Pametengenezwa VIEW POINT nzuri itayokuwezesha kuona kwa uzuri.
Unafanya Mbeya-Chunya road. to reach the point it takes only 20-30 minutes. Njia ni nzuri sana, lami mwanzo mwisho. So unateleza tuu. Ukiulizia tuu njia ya kwenda chunya wenyeji watakuonyesha, ni karibu mnoooMkuu ahsante na God bless you.. hizo gear zote na zana zote zipo intact !!
sasa nikifika Mbeya mjini ...ni anzie wapi kuelekea huko na mwendo wa saa ngapi? (hilo tu)
Utalii wangu ujaaliwe...Unafanya Mbeya-Chunya road. to reach the point it takes only 20-30 minutes. Njia ni nzuri sana, lami mwanzo mwisho. So unateleza tuu. Ukiulizia tuu njia ya kwenda chunya wenyeji watakuonyesha, ni karibu mnooo
Mkuu vivutio gani tena hayo maeneo?Na si huko tu, Mbeya kama unakwenda Kyela kutoka Mbeya mjini yaani njia yote ile kuna vivutio vingi sana kuanzia Uyolepale hadi kyela!
A place to visit.Njiani kama unatoka Mbeya kwenda chunya,ndipo ilipo HIGHEST POINT OF ALL TRUNK ROADS IN TANZANIA, pana ALTITUDE 2457m, LONGITUDE O8' 35 S na LONGITUDE 33' 25 E. Ukiwa hapo mzee kuna such a beautiful view of the rift valley, utaliona bonde la Usangu loote na Mbeya yooote, Pametengenezwa VIEW POINT nzuri itayokuwezesha kuona kwa uzuri.