Ridhiwani, hii ahadi baba yako mbona aliitoa!

Ridhiwani, hii ahadi baba yako mbona aliitoa!

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Jana mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze ndugu Ridhiwani Kikwete alitoa mpya pale alipoahidi Zahanati kila kijiji cha jimbo la Chalinze, sasa najiuliza, ina maana mtoto wa nyoka ni nyoka? baba yake alitoa ahadi kama hizi mwaka 2005 na 2010 lakini nyingi bado hajazitekeleza sasa mtoto naye anaahidi vitu kama hivi ataviweza?

Kikwete yeye alienda mbali zaidi na kuahidi Bajaji kila zahanati kwa ajili ya akina mama wajawazito sijui hakufikiria vizuri hali anayokuwa nayo mwanamke mjamzito halafu tena umbebe kwenye bajaji?

Du!! kweli mtoto wa nyoka ni nyoka!!
 
Hawana jipyala kuwaeleza watu, kwangu uongo wote wamemaliza na hawana kumbuumbu kama walishayaahidi hayo.

Tatizo la ndugu zangu Wakwere tumezoea kucheza ngoma tu, hivyo kwa huyo Riz1 tutamchagua tu kwa kuwa ------ mwenzetu tukiwa na matumaini kuwa tutacehza naye ngoma (HAPO TUNAJIONA KUWA TUNAMCHAGUA " MWANA WA UKAYE" kumbe.....) Kumbe akishachaguliwa tu anaenda DSM kuishi na sisi tutabaki katika vinyumba vyetu vya tofali za udongo na kuezekwa manyasi.


View attachment 147556

Mbavu za mbwa.jpg



MIZAMBWA
INANUMA SANA!!!
 
Acheni wivu kwa ridh1,walioishiwa uongo ni wale wa chopa,wameshashitukiwa,wameloa kama kindege.Mwombeni radhi zitto, na bado.
 
Basi si mmwambie mkwavi wenu atoe ahadi zinazotekelezeka? Mmemtelekeza mkwavi analalamika mbaya! Anajuta hata Bucha zake amefunga chezea wazee wa Salio? Sasa wanasaka mchango kupitia Jf asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu nasikia wazazi wake walimkataza huyu kijana wa Kikwavi amelazimisha sasa goma linakula kwake vidume washaona hailipi wamesepa.
 
Ridhiwani anfuata laana ya baba yake anayelaaniwa na kila Mtanzania kwa ahadi za uongo amefirisi hazina kwa ajili ya uchaguzi wa chalinze bado miezi 22 he will be a nobody kama Mkapa na Mwinyi wanaonekana wakialikwa mbia za marsthon au kutoa zawadi za m-pesa
 
Back
Top Bottom