Ni kesho Jumapili mida ya saa 8 mchana. Mjumbe huyo wa kamati kuu ya CCM na kada wa Chama hicho atahutubia mkutano mkubwa hadhara katika Jimbo la Chwaka wilaya ya kati Uguja.
Haijafahamika nini hasa Kada huyo atazungumzia lakini kuna uwezekano mkubwa akagusia Katiba mpya ambapo hivi karibu wapinzani Mbowe, Lipumba na Mbatia waliungana kupinga mchakato huo.
Katiba inasemaje kuhusu mkutano wa hadhara? je mtu yeyote anaweza kuitisha? kwani yy ni nani hadi aitishe mkutano wa hadhara