johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,954
Kwa kuwa kasi ya maendeleo katika jimbo la Kawe inasuasua kutokana na ukweli kuwa Mdee amekuwa nje ya bunge kwa kusimamishwa mara kwa mara na hivyo Kawe inakosa MTU was kuwaongelea mambo yao ya maendeleo.
Najua Hajji Manara wa Simba anaandaliwa kugombea lakini vijana was Kawe waliponiomba nikufikishie mwaliko huu nikakubaliana na mawazo yao.
Hivyo ikikupendeza achana na mambo ya Rungwe, rudi nyumbani Kawe kumenoga.
Mjumbe hauwawi nimefikisha salami za sana Kawe
Maendeleo hayana vyama!
Najua Hajji Manara wa Simba anaandaliwa kugombea lakini vijana was Kawe waliponiomba nikufikishie mwaliko huu nikakubaliana na mawazo yao.
Hivyo ikikupendeza achana na mambo ya Rungwe, rudi nyumbani Kawe kumenoga.
Mjumbe hauwawi nimefikisha salami za sana Kawe
Maendeleo hayana vyama!