Chukua kamusi yako uangalie maana ya revengeYanga wameamua kumsajili kiungo aliyeachwa na Azam kama mchezaji huru
Atacheza wapi?Yanga wameamua kumsajili kiungo aliyeachwa na Azam kama mchezaji huru
Ndiyo maana tunaitwa WANANCHI...Hawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Akili nyingi sana.. Kiungo mkata shombo. Ni heri uwe na huyu mpemba muislamu kuliko kuwa na Bigirimana anaye ingia na kutoka kwenye kikosi cha kwanza.Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Saidoo mliwalipa geita shilingi ngapiMke aliyepewa talaka ukamuoa unajisifuje
Daaaah!!!!Atacheza wapi?
Hujui sheria za mpira. Hakuna revenge hapo.Yanga wameamua kumsajili kiungo aliyeachwa na Azam kama mchezaji huru
Wenyewe hawajafurahii wamenuna sasa cjui walijua anatambulishwa nani,
Wameanza kutupigia mabomu huko insta toka juzi utasema wanataka kuzindua uwanja wao mpyaView attachment 2467902
Kama Kibu anacheza, kama Mzamiru anacheza, kama Kiyombo anacheza, kama Mwanuke, Okwa na Kapama wanacheza, Mudahir anashindwajeAtacheza wapi?