mwanangoko
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 136
- 23
Hakuna mtu aliyekuwa passionate na Tanganyika kama Rev Mtikila.
Nilimwona kama sikosei mwaka 1995 hivi akitembea na bendera ya Tanganyika akielekea mitaa ya Shaban Robert.
Simwoni frontline kwenye UKAWA,au ndio magamba yamempa kitu kidogo akae kimya?
Nimesikiliza audio ya Bishop Kakobe,masaa 2 hivi kuhusu Tanganyika alipotoa wakati wa Pasaka.Kumbe Tanganyika
tulipewa na Mungu.Kama wewe Mtanganyika halisi sikiliza sermon hii ya Bishop,utafarijika moyoni
Viva Tanganyika,Tanganyika itakuja tu.
Nilimwona kama sikosei mwaka 1995 hivi akitembea na bendera ya Tanganyika akielekea mitaa ya Shaban Robert.
Simwoni frontline kwenye UKAWA,au ndio magamba yamempa kitu kidogo akae kimya?
Nimesikiliza audio ya Bishop Kakobe,masaa 2 hivi kuhusu Tanganyika alipotoa wakati wa Pasaka.Kumbe Tanganyika
tulipewa na Mungu.Kama wewe Mtanganyika halisi sikiliza sermon hii ya Bishop,utafarijika moyoni
Viva Tanganyika,Tanganyika itakuja tu.