The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Magari kitu gani bwana mimi namkubari huyu bwana Dan Bilzerian yani yeye ni kula raha na watoto kila aendeko awe kwenye boat yake, ndege yake, yani yeye ni watoto kama wote kitandani analala nao kama watano.
Major Pain in the ass maamaeNafikiri wewe ndio unatakiwa uone aibu kwa kumtoa ulikomuona na kumleta huku. Umefaidika na nini?
Nani kamfilisi mkuu maana jamaa ni professional gambler, mimi uwa naona matusi yake kwenye page ya hyper luxury mkuuDan tayari washamfilisi......nigga ni broke now
Daaa, yaani ni kupiga mashine tu, daah, acha tuu...., pesa hiziMagari kitu gani bwana mimi namkubari huyu bwana Dan Bilzerian yani yeye ni kula raha na watoto kila aendeko awe kwenye boat yake, ndege yake, yani yeye ni watoto kama wote kitandani analala nao kama watano.
View attachment 1633842View attachment 1633843View attachment 1633845
Achana na huyo jamaa,ana mshkaji wake anaotwa toni tuotoni wa lunatic life huyo ndo balaa dan akasome..Magari kitu gani bwana mimi namkubari huyu bwana Dan Bilzerian yani yeye ni kula raha na watoto kila aendeko awe kwenye boat yake, ndege yake, yani yeye ni watoto kama wote kitandani analala nao kama watano.
View attachment 1633842View attachment 1633843View attachment 1633845
Vp yule toni tuotoni bado yupo maana wanaharakati wa unyanyasaji wa kijinsia walikuwa wanamsakama kichizi yan,siku hizi page yake ya insta siioni!Dan tayari washamfilisi......nigga ni broke now
According to forbes ana utajiri wa dola million 200 wakati deni alilonalo kwenye kampuni ni $50 milion, so hawezi filisika mkuu na yeye bado kakomaa kuwa hizo habari hazina ukweliGambling hakuna kitu mkuu....lile lilikua chaka tu
Real Money alipata kwenye zile product zake za IGNITE.....sasa,investors waliweka hela ya hatari akawa anakula anajaza ni "Marketing Costs"
Mwisho wa siku kampuni ikafa,mfilisi akaja na kesi nyingi mahakamani
Kumbe hadi ile nyumba aliyokua anafanyia parties na yatches,nk zote za kukodi
Mpaka wale models walikua wanadai pesa zao wakarushwa,nao wakafungua makesi kibao
The nigga is mathematically broke,sema ki-insta insta lazima aoneshe bado yupo matawi
Kwa hivyo sasa hv kazi yako ni kutuanzishia nyuzi sisi matajiri.....Inakuwaje!
Huyu singanga mwenye asili ya India haoni aibu kabisa kuanika utajiri wake kwenye social media.
Reuben Singh mwenye umri 44 ni Entrepreneur na CEO wa alldayPA and private equity firm Isher Capital. Alizaliwa 20 September 1976 Yorkshire Uingereza.
Anapenda sana kujionesha na Rolls Royce japokuwa anamagari mengine ya kifahari kama Bugatti Veyron thamani 1.7 m$. View attachment 1633833View attachment 1633834View attachment 1633835View attachment 1633836View attachment 1633837View attachment 1633838
@Cc Waziri wa Kaskazini
Sasa mimi ndio wataniuaMaisha hayo ya wenzetu kibongobongo haiwezekani labda utie pamba ktk masikio kabisa...ukoo mzima wenye watu elfu moja unakutegemea ww kudadeki hapo bado vipapai kwa majirani..safari n ndefu mda hautoshi
Tulia wewee mgerasi Jikite kwenye mada iliyopo jamviniKwa hivyo sasa hv kazi yako ni kutuanzishia nyuzi sisi matajiri.....
Si makesi ya madai kwani kuna jinai!?Dan simuamini aisee
Baba yake nae ana mawe ili alikua mwizi mwizi kama mwanae....
Dan Im sure atapigwa jela miaka kadhaa....haya makesi hayamuachi kirahisi rahisi
Nilisom alivuta kama kama $30 milion dollarsDan simuamini aisee
Baba yake nae ana mawe ili alikua mwizi mwizi kama mwanae....
Dan Im sure atapigwa jela miaka kadhaa....haya makesi hayamuachi kirahisi rahisi
Professional gambler ndo kitu gani?..unasomea wapi hii kitu?Nani kamfilisi mkuu maana jamaa ni professional gambler, mimi uwa naona matusi yake kwenye page ya hyper luxury mkuu
Poapoa MyebusiUkianzisha uzi wa Ginimbi wa Tanzania unitag wewe mkaldayo
Professional gambler ana experience anajua jinsi ya kuweka stakes zake. Jamaa anakwambia leo anaweza poteza dollar milion 3 kesho akala milion 15Professional gambler ndo kitu gani?..unasomea wapi hii kitu?
Hakuna kamari professional