Samahan wadau naomba msaada kwa anayefahamu kuhusu hili, kuna dogo wangu amemaliza form four mwaka jana 2015 kila akiingia NACTE kwa ajili ya kufanya application ya Kozi anaambiwa namba yake ishatumiwa na mwombaji mwingine lkn huyo dogo hajawahi omba nacte zaidi ya siku hiyo na kwa mara ya kwanza lkn anaambiwa namba yake ishatumiwa, msaada kuhusu hili wadau.