Jamani wana-JF nisaidieni nipate kazi za research assistance. Nina BA sociology na nimekua nikifanya prject/prgrm management ktk NGOs mbalimbali at least for the past 8 yrs. Natafuta kazi sijapata naona nianzie hapa ili nisife njaa. Yeyote anayejua anijuze naomba nawaombeni sana jamani.