Tanzaniano Tz
Member
- Jun 27, 2019
- 27
- 51
Habarini wadau?hivi ile mechi ya marudiano ya klabu bingwa africa ni lini na wapi uwanja teule???
Kama ni kweli mpira wa Africa hovyo kabisa ndo maana wanatudharauHakuna tena marudio, mahakama ya usuluhishi mambo ya michezo imeamua kuwapa tena ubingwa Watunisia Esperence