Zitakuwa ni diesel engines zenye speed ya 120km/hr. Too inefficient and slow.Nimesoma kwenye mitandao kwamba serikali imetangaza zabuni ya ujenzi wa reli kwa kiwango cha kimataifa je zitapita treni za kawaida au za umeme?
View attachment 397542
Ahadi hii ya kujenga Reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge ilitolewa mwaka 2005, katika serikali ya awamu ya nne hawakuweza kutekeleza kwa miaka yote kumi, serikali hii kutangaza zabuni ni mafanikio makubwa, labda kama haujui maana ya Zabuni ndio utashangaa.ubabaishaji mwingi awamu hii ngoja tusubiri tuone
kwa hiyo na kuchimbwa mafuta kuliko tangazwa na Mkapa kuna uwezekano mkubwa kutangazwa zabuni yake awamu hii sio?Ahadi hii ya kujenga Reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge ilitolewa mwaka 2005, katika serikali ya awamu ya nne hawakuweza kutekeleza kwa miaka yote kumi, serikali hii kutangaza zabuni ni mafanikio makubwa, labda kama haujui maana ya Zabuni ndio utashangaa.
Zitakuwa ni diesel engines zenye speed ya 120km/hr. Too inefficient and slow.
I advised sana kwamba tujenge kwa awamu awamu ya kwanza iishie Dodoma lakini kiwe ni kitu cha uhakika kama hapo kwenye picha uloweka. Hizo $7.2 billion alizokopa tuimarishe supply yetu ya umeme kwenye grid then wajenge high speed electric rail mpaka Dodoma phase one, phase two iende mpaka Mwanza na Kigoma na huko Rwanda na Burundi
Hivi hujui engine ya train Juu pale inaweza kufungwa mtambo ambao unafua umeme muda wote train ikitembea .....njoo india uone.za umeme upi labda?
Ndoto hiyo, labda ccm ifeZitakuwa ni diesel engines zenye speed ya 120km/hr. Too inefficient and slow.
I advised sana kwamba tujenge kwa awamu awamu ya kwanza iishie Dodoma lakini kiwe ni kitu cha uhakika kama hapo kwenye picha uloweka. Hizo $7.2 billion alizokopa tuimarishe supply yetu ya umeme kwenye grid then wajenge high speed electric rail mpaka Dodoma phase one, phase two iende mpaka Mwanza na Kigoma na huko Rwanda na Burundi
yan jf raha tuuuWe jua zitapita treni tu... Jiandae kuzipanda haijalishi ni za solar, umeme au mkaa