Registration: Dar haipo kwenye Time zone

Ozzanne Issakwisa

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
288
Reaction score
241
Wakati ninajisajili kwenye time zone nikawa natafuta Dar es Salaam. Bahati nimeona UTC +3:00 ila ina Nairobi, Bagdad n.k. na kuisahau Dar es Salaam, kitu ambacho tumekizoea katika mitandao ya nje. Kulikoni hata sisi watanzania kusahau mji wetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…