Reginald Mengi ajitoa rasmi kwa Lowassa

Status
Not open for further replies.
mengi ndivyo alivyo,huwa anakuja kugeuka katika baada ya kupima upepo....

nchimbi yeye alinusa mapema akakaa kando...



itakua vizuri kama magufuli aytamrudisha nchimbi katika wizara yake ya mambo ya ndani

Hiyo wizara inamfaa mwigulu 100%
 
Hao wasanii hata wote wachukueni kwani ni sawa kuishiwa risasi kisha ukatumia gobole kama fimbo,
kwani ukweli ni kwamba aalS .Dr ni rasasi ya mwisho kwenye gobole lenu....hiiiiiiiihaoooo

Kwanza ni wasanii hapo km sio usanii unategemea nn usihangaishe brain tuliasindanoya tetanus itandungwa trh 25 October ss mbona mcheche km kuku mtetea vp
 
Machaga hayajui siyasa zaidi ya kutukana ndiyo maana hata mapenzi hayajui tena ni wauza vyombo na vitenge ndiyo watukanaji hao'kisa hawataki kulipa kodi nyoooo kuna inchi isyotoza kodi hapa duniyani?!!!!!!jingaa nyie
 
Wanaoondoka ukawa ni wachache kuliko wanaoingia ukawa!ushindi ni lazima octoba 25

Ni kawaida ya binadamu kujifariji hata kama anaona mwisho unakaribia.

UKAWA mnavyopenda sifa na kuonekana kama kweli watu wengi wanahamia kwenu basi lazima tungeona hizo habari kila mahali.
 
Wanacdm msiwasikilize hao mengi ameongelea wapi . Dakd hii channel zake zilikuws zinarusha mambo ya ukawa live. Akiongea mbatia na pr.baregu. Waongo wasimpakazie mzee wetu. Pipooooz.
 
Hayo Ni maoni ya mzee mengi Ni hali yake sio kwamba akiongea lazima itimie yeye Ni mmoja miongoni mwa mamilioni ya watz wanaotaka mabadiliko.
aunty Ezekiel,ray na juma nature ni njaa inawahangaisha
 
Huyu naye ni wale wale angalia kaanza lini. Naamini kuanzia tarehe 25.10.2015 hatutamwona JF

Join Date : 25th August 2015
Posts : 33
Rep Power : 309
Likes Received12
Likes Given0

Kitengo cha IT masaki.
 
Kaondoka Katibu wa chama na UKAWA ilibakia;
Aunt Ezekiel, Ray na Juma Nature watatikisaje kwa mfano?
 

Mkakati wenu huo ulivuja kabla hata hamjawachukua hao wasanii kwa milioni 50 ... subirini oct. Alafu mlikuwa mmegoma wiki mbili zilizopita baada fungu kugawa mmeanza kujamba huku kwa mitandao na media zote, na twawrza na redet walete utafiti wa kupika. Hahhahaha. Mungu ashawaona
 
Machaga hayajui siyasa zaidi ya kutukana ndiyo maana hata mapenzi hayajui tena ni wauza vyombo na vitenge ndiyo watukanaji hao'kisa hawataki kulipa kodi nyoooo kuna inchi isyotoza kodi hapa duniyani?!!!!!!jingaa nyie

mkuu hivi huwezi kutumia akili kupost hapa????? change man u'r growin
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…