Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,250
- 3,451
Salaam kwako Tundu Lissu uko Gerezani ulipo,Sera yako au yenu Chadema imenifanya nirudie kusoma Mwalimu Julius Nyerere Epilogue of his collective work inayojulikana kama Uhuru na Umoja ili kuweza kujua ama kupata sababu ya Chadema kuja na fikra ya mabadiliko kwenye katiba ama Reformation kwenye nyanja mbalimbali katika maisha ya Mtanzania na nimeona Mwalimu Julius Nyerere akizungumzia reform kwa ukubwa zaidi akitupitisha kwenye fikra tatu,principle of change which was threefold in nature.
a. Africa(Tanzania) must change
b. The change has to be positive
c. Africans(Tanzanians) have to initiate and steer that change.
Mwalimu Julius Nyerere akizungumzia Afrika(Tanzania) kwa upana na wazungu wanasema charity begins at home hivyo basi kwenye Afrika weka Tanzania na kwenye Africans weka Tanzanians,kumbuka haya maandishi yalikuwa ni ya mwaka 1966,hivyo fikra ni za mabadiliko na nitazizungumzia kwa wakati wa sasa,fikra hizi za Mwalimu zinaweza kutuonesha ni kwa namna gani inatupasa kubadili katiba ya chama na nchi kutokana na mazingira tuliyomo,nitaeleza na mifano kadhaa kutoka Marekani ambayo ndiye baba wa Demokrasia.
Katika Makala hii tutaishi kwenye nadharia hizi za Mwalimu,Africa must change her institutions to make feasible her new aspirations; her people must change their attitudes and practices to accord with the objectives. And these changes must be positive, they must be initiated and shaped by Africa and not simply be a reaction to events which affect Africa,Niwarudishe nyuma miaka ya 1970's,1980's hadi 1990's siku ambazo hatukuweza kusoma gazeti lingine zaidi ya Uhuru,Mzalendo,Daily News na Sunday News baadae kuja gazeti la Mfanyakazi kuja kuleta faraja,Niwakumbushe nyakati ambapo 8:00 PM RTD taarifa ya habari kutoka Redio Tanzania,Dar es Salaam na ilisikilizwa na kila mmoja wetu kufuatiwa na "Ujumbe wa Leo" Nikukumbushe enzi za mabasi ya Kamata,Relwe,Moretco na kadhalika,toka enzi hizo hadi leo bado tuna fikra zile zile ilihali zama zimebadilika,tunatakiwa kubadilika kiakili,kimtazamo,kimatendo na kimaneno,Katiba ya Chama na Nchi inatakiwa iendane na mabadiliko hayo,rejea Mwalimu Julius Nyerere Uhuru na Umoja, a recurring practical theme. It is the theme of change. For Africa must change; change from an area where people (take?) out an existence and adapt themselves to their environment, to a continent which challenges the environment and adapts it to man's need.
Africa must change her institutions to make feasible her new aspirations; her people must change their attitudes and practices to accord with the objectives. And these changes must be positive, they must be initiated and shaped by Africa and not simply be a reaction to events which affect Africa,kwenye Afrika weka Tanzania.Je fikra hizo za Mwalimu kuhusu haja ya Africa na Tanzania kubadilika zimepitwa na wakati na tusiziangalie tena. Je hoja yake kuhusu haja ya Afrika and hence Tanzania kubadilika ina makosa gani?
Nionavyo mimi fikra za Mwalimu kuhusu kubadilika kwa Tanzania bado zina nguvu kubwa.Kwakweli Watanzania tukitaka maendeleo ya kweli tunahitaji kubadilika,tubadilike na tuachane na ubinafsi,huu ndiyo ugonjwa unaotumaliza waafrika(watanzania),tuiache ile dhana ya kudhani kuwa uongozi ni ulaji wako wewe na mkeo,wanao na jamaa wengine wa karibu,Mali ya Umma ni kufuja tu kwani una hasara nayo gani.Ubinafsi ndiyo ugonjwa wetu mkubwa sisi Watanzania.Ubinafsi ndiyo umetufanya tuwe waroho wa madaraka,tuwe wadhulumaji,tuwe na chuki sisi kwa sisi na hivyo tuuane hovyohovyo,tuwe mafisadi,tuwe wazembe katika majukumu mbalimbali tuliyokabidhiwa etc etc hivyo kutufanya tuendelee kuwa masikini wa kutupwa mpaka leo hii pamoja na rasilimali zote tulizojaaliwa na mwenyezi Mungu,Kwa leo Watanzania wenzangu wito wangu ni huo,katika nafasi yoyote ile uliyonayo,shughuli yoyote unayojishughulisha nayo tafadhali achana na ubinafsi kuanzia sasa,jitoe haswa kwa faida ya jamii yetu yote ya Tanzania na siyo kwa faida ya mkeo,wazazi,watoto na jamaa peke yao,Pumzikeni kwa Amani Hayati Edward Moringe Sokoine,Pumzika kwa Amani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere,Pumzika kwa Amani Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
-Kwa nini tunahitaji badiliko kwenye katiba ya Chama na Nchi.
Tanzania haiwezi kubadilika just for the sake of kubadilika bila muongozo maalum ambao ni katiba ya Chama na Katiba ya Nchi,na hili litawezeshwa kutoka kwa viongozi wake au kutoka kwa wananchi wake,sasa kama haya maneno ya Mwalimu ni ya kweli, basi Tanzania ilitakiwa kuwapa wananchi wake nafasi ya kuweka mandate kwa viongozi wake of exactly what kind of change wanataka, that has not been the case so far,
Iwapo kuna kiongozi anataka kuleta mabadiliko lazima aweke muongozo unaokubalika kwa maana ya kufanya badiliko kwenye Katiba,na ni lazima kiongozi huyo awaulize wananchi wanataka nini,lakini maneno matupu ya change tu au kwa amri ya Rais tu kitu fulani kifanyike na kisiwekwe kwenye katiba hayawezi kutusadia kitu,Hayati Rais Magufuli alifanya sana kusaidia wanyonge na walioonewa na kuweka mashinikizo ya uwajibikaji kwenye Mashirika ya Umma lakini alipokufa hata vyeti feki waliomba kurudi tena kazini kwa sababu Rais Magufuli hayupo tena,Mao, George Washington, na wengineo hawapo tena, lakini tizama system zao zinaendelea kuongoza nchi zao imara zaidi kupitia katiba imara waliyoiweka na mabadiliko yaliyofanyika kuelekea ubora zaidi kwa manufaa ya Mataifa yao,hii inatufundisha kwamba binadamu ana tabia ya kuwa-comfortable mahali alipo,sasa kumbadili ni lazima utumie sheria, au siasa,lakini change! change! change! itasaidia nini,kama tunataka kuondoa ubinafsi dawa ni kuruhusu utawala wa sheria uchuke mkondo,lakini hatuwezi kutegemea waa-Watanzania kubadilika ghafla na kuacha ubinafsi.
Mawazo ya Mwalimu Julius Nyerere yanatupa mwanga mkubwa sana katika kila hatua tunayopiga kama Taifa la Tanzania lakini a change of what na under what conditions au under who's expense? Pumzika kwa Amani Le Mutuz ulichampion jambo hili kwa ukubwa sana miaka ya 2008 kwenye Jamii Forum,Heshima mbele Mkuu.
Kwenye Maandishi ya kitabu cha Uhuru na Umoja,Mwalimu Julius Nyerere alisema vizuri kiprophetically ( I use the term rather liberally) kuwa Bara letu kwenye bara tuweke nchi yetu lazima ibadili mtazamo na vitendo vyake.Ukiangalia hili ndilo ambalo wengi tunalijadili hasa tunapoangalia mapungufu ya Viongozi wetu n.k tunasema tunataka tubadilike,tunasema tubadili attitudes zetu na matendo yetu,ili tufikie malengo (objectives) ya kujenga taifa la kisasa na la watu wenye kufurahia Taifa lao,Tunasema tunataka tubadilike.Tunapozungumzia kuzingatia misingi ya utawala wa sheria, kuwa na maadili n.k tunachosema ni kuwa vitu hivyo havipo sasa na tunataka tubadilike.Hivyo tunakubaliana na Mwalimu kuwa we need to change our "attitudes and practices to accord with the objectives." Kuna ubaya gani katika ukweli huu mwingine kuwa kama kweli tunataka kufikia malengo yetu hatuna budi kubadilika? Hakuna Kiongozi Mkuu aliyeonesha hadi hivi sasa ndiyo maana tunaona watu kama Tundu Lissu akishika hatamu na watu watamuelewa kwa sababu ni takwa la nyakati,na suluhisho ni kukaa nae mezani na ikiwezekana kufanya hayo mabadiliko ya katiba ya nchi na tume ya uchaguzi.
Kwenye Maandishi ya Uhuru na Umoja,Mwalimu hapa anaonesha wazi kuwa Afrika inaweza kuchagua watu wengine waamue mabadiliko ndani yake au yenyewe ibadilike yenyewe,kwenye Afrika weka Tanzania kwamba Watanzania wenyewe waamue hatma ya maisha yao na kiasi cha mabadiliko wayatakayo,Leo hii tunapozungumzia mabadiliko wengi tutachukia na kukasirishwa wakija wazungu na kutuambia tufanye hivi au vile kwa vile wanaamini hivyo ni vitu vizuri kwetu.
Wengi tutaona tumetukanwa na kudharauliwa kama Wamarekani wakija na kusema "badilisheni Katiba yenu", fanyeni hivi au vile,tawezekana wakawa wanasema kweli lakini yawezekana wengi tungependa kuona kuwa ni sisi wenyewe tunaamua nini tunachotaka,Sasa kwa Mwalimu kusema "Afrika(Tanzania) must initiate and shape" these changes kuna makosa gani hapo? Je tunataka wengine watubadilishe katiba na sisi tuwe wajibuo yale yafanywayo na wengine? Naamini hakuna aliyeonesha ubaya wa wazo hilo.
Nimalizie part hii lakini si mwisho fikra kutoka kwenye maandishi ya Uhuru na Umoja aliyoandika Hayati Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Nyerere,Ni kweli tunaweza kukaa na kusubiri mabadiliko yatokee, au tunaweza kushiriki katika mabadiliko hayo.Hayati Mugabe alishindwa kubadilika na alibadilishwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wake.
Mwalimu Julius Nyerere aliona mbali na aliona kuwa kuna mabadiliko yanakuja mbele yake inevitable change maana vijana wa mwaka 1950's 1960's si wale vijana wa 1980's na mazingira ya 1950's 1960's si yale ya 1980's hivyo basi Mwalimu Nyerere akaamua kuyawahi,kwa jinsi nilivyomjua Intellectual Mwalimu Julius Nyerere asingeweza kuendelea kukaa madarakani kwa sababu intellectually he could see the upcoming change and he could not stop it.Ndio maana akaamua kukaa pembeni na kujaribu kuyaelekeza yaende vizuri,Leo hii tunazungumzia hali ya kisiasa nchini bila kukiri kuwa uamuzi wa Mwalimu kung'atuka ulikuwa ni uamuzi wa kijasiri sana na ulisaidia sana kulipeleka Taifa letu kwenye mabadiliko badala ya kusubiri nguvu za nje kutubadilisha kama yaliyomkuta Hayati Rais Kibaki wa Kenya.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
-Bachelor of business administration in international business
-Master of Leadership and Management.
Recent Publications;-
-Assessment on the effects of microfinancing on Poverty reduction.
a. Africa(Tanzania) must change
b. The change has to be positive
c. Africans(Tanzanians) have to initiate and steer that change.
Mwalimu Julius Nyerere akizungumzia Afrika(Tanzania) kwa upana na wazungu wanasema charity begins at home hivyo basi kwenye Afrika weka Tanzania na kwenye Africans weka Tanzanians,kumbuka haya maandishi yalikuwa ni ya mwaka 1966,hivyo fikra ni za mabadiliko na nitazizungumzia kwa wakati wa sasa,fikra hizi za Mwalimu zinaweza kutuonesha ni kwa namna gani inatupasa kubadili katiba ya chama na nchi kutokana na mazingira tuliyomo,nitaeleza na mifano kadhaa kutoka Marekani ambayo ndiye baba wa Demokrasia.
Katika Makala hii tutaishi kwenye nadharia hizi za Mwalimu,Africa must change her institutions to make feasible her new aspirations; her people must change their attitudes and practices to accord with the objectives. And these changes must be positive, they must be initiated and shaped by Africa and not simply be a reaction to events which affect Africa,Niwarudishe nyuma miaka ya 1970's,1980's hadi 1990's siku ambazo hatukuweza kusoma gazeti lingine zaidi ya Uhuru,Mzalendo,Daily News na Sunday News baadae kuja gazeti la Mfanyakazi kuja kuleta faraja,Niwakumbushe nyakati ambapo 8:00 PM RTD taarifa ya habari kutoka Redio Tanzania,Dar es Salaam na ilisikilizwa na kila mmoja wetu kufuatiwa na "Ujumbe wa Leo" Nikukumbushe enzi za mabasi ya Kamata,Relwe,Moretco na kadhalika,toka enzi hizo hadi leo bado tuna fikra zile zile ilihali zama zimebadilika,tunatakiwa kubadilika kiakili,kimtazamo,kimatendo na kimaneno,Katiba ya Chama na Nchi inatakiwa iendane na mabadiliko hayo,rejea Mwalimu Julius Nyerere Uhuru na Umoja, a recurring practical theme. It is the theme of change. For Africa must change; change from an area where people (take?) out an existence and adapt themselves to their environment, to a continent which challenges the environment and adapts it to man's need.
Africa must change her institutions to make feasible her new aspirations; her people must change their attitudes and practices to accord with the objectives. And these changes must be positive, they must be initiated and shaped by Africa and not simply be a reaction to events which affect Africa,kwenye Afrika weka Tanzania.Je fikra hizo za Mwalimu kuhusu haja ya Africa na Tanzania kubadilika zimepitwa na wakati na tusiziangalie tena. Je hoja yake kuhusu haja ya Afrika and hence Tanzania kubadilika ina makosa gani?
Nionavyo mimi fikra za Mwalimu kuhusu kubadilika kwa Tanzania bado zina nguvu kubwa.Kwakweli Watanzania tukitaka maendeleo ya kweli tunahitaji kubadilika,tubadilike na tuachane na ubinafsi,huu ndiyo ugonjwa unaotumaliza waafrika(watanzania),tuiache ile dhana ya kudhani kuwa uongozi ni ulaji wako wewe na mkeo,wanao na jamaa wengine wa karibu,Mali ya Umma ni kufuja tu kwani una hasara nayo gani.Ubinafsi ndiyo ugonjwa wetu mkubwa sisi Watanzania.Ubinafsi ndiyo umetufanya tuwe waroho wa madaraka,tuwe wadhulumaji,tuwe na chuki sisi kwa sisi na hivyo tuuane hovyohovyo,tuwe mafisadi,tuwe wazembe katika majukumu mbalimbali tuliyokabidhiwa etc etc hivyo kutufanya tuendelee kuwa masikini wa kutupwa mpaka leo hii pamoja na rasilimali zote tulizojaaliwa na mwenyezi Mungu,Kwa leo Watanzania wenzangu wito wangu ni huo,katika nafasi yoyote ile uliyonayo,shughuli yoyote unayojishughulisha nayo tafadhali achana na ubinafsi kuanzia sasa,jitoe haswa kwa faida ya jamii yetu yote ya Tanzania na siyo kwa faida ya mkeo,wazazi,watoto na jamaa peke yao,Pumzikeni kwa Amani Hayati Edward Moringe Sokoine,Pumzika kwa Amani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere,Pumzika kwa Amani Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
-Kwa nini tunahitaji badiliko kwenye katiba ya Chama na Nchi.
Tanzania haiwezi kubadilika just for the sake of kubadilika bila muongozo maalum ambao ni katiba ya Chama na Katiba ya Nchi,na hili litawezeshwa kutoka kwa viongozi wake au kutoka kwa wananchi wake,sasa kama haya maneno ya Mwalimu ni ya kweli, basi Tanzania ilitakiwa kuwapa wananchi wake nafasi ya kuweka mandate kwa viongozi wake of exactly what kind of change wanataka, that has not been the case so far,
Iwapo kuna kiongozi anataka kuleta mabadiliko lazima aweke muongozo unaokubalika kwa maana ya kufanya badiliko kwenye Katiba,na ni lazima kiongozi huyo awaulize wananchi wanataka nini,lakini maneno matupu ya change tu au kwa amri ya Rais tu kitu fulani kifanyike na kisiwekwe kwenye katiba hayawezi kutusadia kitu,Hayati Rais Magufuli alifanya sana kusaidia wanyonge na walioonewa na kuweka mashinikizo ya uwajibikaji kwenye Mashirika ya Umma lakini alipokufa hata vyeti feki waliomba kurudi tena kazini kwa sababu Rais Magufuli hayupo tena,Mao, George Washington, na wengineo hawapo tena, lakini tizama system zao zinaendelea kuongoza nchi zao imara zaidi kupitia katiba imara waliyoiweka na mabadiliko yaliyofanyika kuelekea ubora zaidi kwa manufaa ya Mataifa yao,hii inatufundisha kwamba binadamu ana tabia ya kuwa-comfortable mahali alipo,sasa kumbadili ni lazima utumie sheria, au siasa,lakini change! change! change! itasaidia nini,kama tunataka kuondoa ubinafsi dawa ni kuruhusu utawala wa sheria uchuke mkondo,lakini hatuwezi kutegemea waa-Watanzania kubadilika ghafla na kuacha ubinafsi.
Mawazo ya Mwalimu Julius Nyerere yanatupa mwanga mkubwa sana katika kila hatua tunayopiga kama Taifa la Tanzania lakini a change of what na under what conditions au under who's expense? Pumzika kwa Amani Le Mutuz ulichampion jambo hili kwa ukubwa sana miaka ya 2008 kwenye Jamii Forum,Heshima mbele Mkuu.
Kwenye Maandishi ya kitabu cha Uhuru na Umoja,Mwalimu Julius Nyerere alisema vizuri kiprophetically ( I use the term rather liberally) kuwa Bara letu kwenye bara tuweke nchi yetu lazima ibadili mtazamo na vitendo vyake.Ukiangalia hili ndilo ambalo wengi tunalijadili hasa tunapoangalia mapungufu ya Viongozi wetu n.k tunasema tunataka tubadilike,tunasema tubadili attitudes zetu na matendo yetu,ili tufikie malengo (objectives) ya kujenga taifa la kisasa na la watu wenye kufurahia Taifa lao,Tunasema tunataka tubadilike.Tunapozungumzia kuzingatia misingi ya utawala wa sheria, kuwa na maadili n.k tunachosema ni kuwa vitu hivyo havipo sasa na tunataka tubadilike.Hivyo tunakubaliana na Mwalimu kuwa we need to change our "attitudes and practices to accord with the objectives." Kuna ubaya gani katika ukweli huu mwingine kuwa kama kweli tunataka kufikia malengo yetu hatuna budi kubadilika? Hakuna Kiongozi Mkuu aliyeonesha hadi hivi sasa ndiyo maana tunaona watu kama Tundu Lissu akishika hatamu na watu watamuelewa kwa sababu ni takwa la nyakati,na suluhisho ni kukaa nae mezani na ikiwezekana kufanya hayo mabadiliko ya katiba ya nchi na tume ya uchaguzi.
Kwenye Maandishi ya Uhuru na Umoja,Mwalimu hapa anaonesha wazi kuwa Afrika inaweza kuchagua watu wengine waamue mabadiliko ndani yake au yenyewe ibadilike yenyewe,kwenye Afrika weka Tanzania kwamba Watanzania wenyewe waamue hatma ya maisha yao na kiasi cha mabadiliko wayatakayo,Leo hii tunapozungumzia mabadiliko wengi tutachukia na kukasirishwa wakija wazungu na kutuambia tufanye hivi au vile kwa vile wanaamini hivyo ni vitu vizuri kwetu.
Wengi tutaona tumetukanwa na kudharauliwa kama Wamarekani wakija na kusema "badilisheni Katiba yenu", fanyeni hivi au vile,tawezekana wakawa wanasema kweli lakini yawezekana wengi tungependa kuona kuwa ni sisi wenyewe tunaamua nini tunachotaka,Sasa kwa Mwalimu kusema "Afrika(Tanzania) must initiate and shape" these changes kuna makosa gani hapo? Je tunataka wengine watubadilishe katiba na sisi tuwe wajibuo yale yafanywayo na wengine? Naamini hakuna aliyeonesha ubaya wa wazo hilo.
Nimalizie part hii lakini si mwisho fikra kutoka kwenye maandishi ya Uhuru na Umoja aliyoandika Hayati Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Nyerere,Ni kweli tunaweza kukaa na kusubiri mabadiliko yatokee, au tunaweza kushiriki katika mabadiliko hayo.Hayati Mugabe alishindwa kubadilika na alibadilishwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wake.
Mwalimu Julius Nyerere aliona mbali na aliona kuwa kuna mabadiliko yanakuja mbele yake inevitable change maana vijana wa mwaka 1950's 1960's si wale vijana wa 1980's na mazingira ya 1950's 1960's si yale ya 1980's hivyo basi Mwalimu Nyerere akaamua kuyawahi,kwa jinsi nilivyomjua Intellectual Mwalimu Julius Nyerere asingeweza kuendelea kukaa madarakani kwa sababu intellectually he could see the upcoming change and he could not stop it.Ndio maana akaamua kukaa pembeni na kujaribu kuyaelekeza yaende vizuri,Leo hii tunazungumzia hali ya kisiasa nchini bila kukiri kuwa uamuzi wa Mwalimu kung'atuka ulikuwa ni uamuzi wa kijasiri sana na ulisaidia sana kulipeleka Taifa letu kwenye mabadiliko badala ya kusubiri nguvu za nje kutubadilisha kama yaliyomkuta Hayati Rais Kibaki wa Kenya.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
-Bachelor of business administration in international business
-Master of Leadership and Management.
Recent Publications;-
-Assessment on the effects of microfinancing on Poverty reduction.