Ni kweli refa Alishangilia goli la Berger,ni tukio lisilo la kawaida ndio maana ilikuwa ni habari kubwa hasa jibu la refa,Tangu goli la Berger uliona wapi kwingine refa akishangilia goli?Je sababu za huyu refa zinalingana na za refa wa EPL?goli hili ni kali sana kama la Berger?