Jamii forum imekusanya watu wengi, kuna watu wenye michango ya maana na kuna watu wenye michango ya kipuuzi.
Chakushangaza mpuuzi anaweza akaleta uziwake wa kipuuzi na aka komaa ku utetea.
Sasa wewe mwerevu ukikomaa ku mpinga mpuuzi, anaweza akatumia uzoefu wake kukushinda kwenye mambo ya ki puuzi.