Simu ya kwanza kutoka na Sd 4 Gen 1 ni Iqoo Z6 lite bei around laki 4 ila haina Amoled, hii Redmi note 12 ni $189 aliexpress around 440,000. Pengine mpaka zikija Avechi na Tigo bei ikawa chini zaidi.
Bei ya kawaida mkuu sio kitonga, A13 5G na simu nyingi lowend zina hio soc. Utamiss mambo mengi ukichukua hii Badala ya Note 12, Amoled display, 120hz refresh rate, Soc ya kisasa Sd 4 gen 1 ambayo inakaa sana na charge etc.
Bei ya kawaida mkuu sio kitonga, A13 5G na simu nyingi lowend zina hio soc. Utamiss mambo mengi ukichukua hii Badala ya Note 12, Amoled display, 120hz refresh rate, Soc ya kisasa Sd 4 gen 1 ambayo inakaa sana na charge etc.
Bei ya kawaida mkuu sio kitonga, A13 5G na simu nyingi lowend zina hio soc. Utamiss mambo mengi ukichukua hii Badala ya Note 12, Amoled display, 120hz refresh rate, Soc ya kisasa Sd 4 gen 1 ambayo inakaa sana na charge etc.