Naomba kujuzwa kuna hii redio inaburudisha mziki mwanzo mwisho hata imenihamisha kusikiliza redio nyingine inaitwaje najua ni 93.7 mwenye kuijua anijuze tafadhaali
Mmiliki wa hhii redio ni nani ? Ameshaifunika clouds kwa mbali sana. akianza rasmi clouds itakua makumbusho
Hivi kumbe ndio mkude simba anapatikana huko?Zaidi ya muziki ni mkude simba tu...
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Hivi kumbe ndio mkude simba anapatikana huko?
si huyu hapo...:A S 100::A S 100:🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂