Red-eyesss is back again

Red-eyesss is back again

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
353
jamani ndugu zangu ninaomba tuwemakini sana mana ule ugonjwa wa macho maarufu kama RED EYES umezuka tena.
hivyo ninachokutaarifu jikinge na kushikana shikana mikono na watu na pia sehemu zinazoshikwa na watu wengi kwamfano kwenye daladala lilechuma tunaloshika na kwenye ngazi tunapopanda na pia PESA ambazo kondakta alizoshika na kukupa.
hivyo tuwemakini sana RED EYES IS BACK laa siivyo tutakuwa tunavaa miwan na tunatembea na vitambaa kilasehemu kama tunamisiba ya taifa
 
Umenikumbusha enzi hizo nipo chuo. Jamaa mmoja aliuleta hostel, tukaanza kumnyanyapaa, tukamtenga na kumtania. Alipopona tu mwingine akaanza, ikawa kama kawaida yetu kumnyanyapaa anaeumwa. Daah, mimi niliupata mwishoni nakumbuka tunafanya UE, huo ugonjwa ni balaa.

Nipo job hapa kuna mtu nimemuona macho mekundu na ni staff, bahati mbaya ndio nimeanza kazi leo so sijamzoea mtu yoyote hapa hata sijui kama ni macho yake au ndio kaupata
 
Back
Top Bottom