Recruitment Agencies...

Recruitment Agencies...

galaxy bebito

Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
5
Reaction score
1
Hivi wadau nilisikia waziri wa ajira akizipiga marufuku kuendelea na kazi ya uwakala wa ajira.

Je ni kweli kwa sasa unaomba direct katika makampuni? Mfano voda..au ndio atill kina Erolink wapo?
 
sio makampuni yote yalikua yanatumia recruitment agencies ata kama wakati hazijapewa :ban:. mengi ulikua una apply directly tu.

btw hii issue bado changanya kichwa, kuna mengine bado yanapeta, ila sijayackia mbwembwe zao for a long time.

kunamengine kama LENJENTZ nayaona yanaleta fujo hadi humu jukwaani. sijui hii ban haiwahusu?
 
Last edited by a moderator:
Yeah mengne yalikua unaapply direct nauliza kwa yale yaliokua yanatumia hawa jamaa mana imekua kero.
 
Unajua co yote yatafutwa...tatizo c kukidhi vigezo hapo walishapewa waraka ili kurekebisha makosa yao madogomadogo dhen wanapiga kazi kama kawa tena. Serikali ikikwambia wanafuta co wanawafuta ni kuwapa nafasi ili kukamilisha usajil wao tu nao c wanataka kodi mzee.
 
Back
Top Bottom