Wadau ninaomba kuelimishwa juu ya kiwango cha kutambuliwa kwa vyeti vinavyotolewa na vyuo vilivyosajiliwa na wizara ya elimu au maliasili na utalii nk, Hapa nataka kutofautisha na vyuo vilivyosajiliwa na NECTA. Nawasilisha
Hi...napenda kufaham kati ya chuo cha st joseph na jordan vinavyopatikana mkoa wa morogoro ni kipi kimesajiliwa na nacte na nikizur kuanzia na certificate???
Hi...napenda kufaham kati ya chuo cha st joseph na jordan vinavyopatikana mkoa wa morogoro ni kipi kimesajiliwa na nacte na nikizur kuanzia na certificate???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.