RECOD MENEGMENT

Giant1

Member
Joined
Apr 1, 2019
Posts
30
Reaction score
9
Wana JF naomba msaada hv ni chuo gan kikuu naweza kusomea RECORD MANAGEMENT baada ya fm six??ukiachana na vyuo vya utumishi wa umma??msaada kwa mwenye anajua..!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wana JF naomba msaada hv ni chuo gan kikuu naweza kusomea RECORDS MENEGMENT baada ya fm six??ukiachana na vyuo vya utumishi wa umma??msaada kwa mwenye anajua..!



Sent from my iPhone using JamiiForums
Jifunze kwanza kuandika kwa usahihi, Record management, nna wasiwasi na six yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jifunze kwanza kuandika kwa usahihi, Record management, nna wasiwasi na six yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaan mtu hujui si unaacha tu kujibu sa kipi ambacho hujaelewa hapo??au ndo kujifanya kukosoa ili uonekane unajua baada ya kujibu swali unakosoa uandishi acha kujifanya unajua kila kitu na ninawasiwasi na uelewa wako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ford six ndio unaandika "RECORDS MENEGMENT" tena unasema unataka uende chuo kikuu na sio vyuo vya kawaida?!

Yaani we mwenyewe unanikosoa baada ya KUANDIKA FORM SIX Unaandika ford so what??? Acha mambo hayo ndugu hizi ni smartphone na kuna typing so be like a man


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unaweza kwenda Mzumbe University campus ya Morogoro, Lakini pia unaweza kusoma course hiyo Sokoine University of Agriculture (SUA)
 
Si unajua kuna Mzumbe Campuses ya Morogoro, Mbeya na Dar es salaam
ushaambiwa mzumbe..so fanya kutafuta mwenyewe ujue ni mzumbe ya wapi..usipende kutafuniwa kila kitu kijana
 
Hakuna Mtanzania mwenye degree ya pure records management ambaye amesomea vyuo vya Tanzania. Labda mwakani chuo cha utumishi ndio kitatoa. So ukitaka pure RM nenda chuo cha utumishi tu.
 
Unaweza kwenda Mzumbe University campus ya Morogoro, Lakini pia unaweza kusoma course hiyo Sokoine University of Agriculture (SUA)

Asante sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Si unajua kuna Mzumbe Campuses ya Morogoro, Mbeya na Dar es salaam

Ndio nazitambua but nilitaka tu kujua ipi inatoa hiyo ila kwa mbeya hamna Asante sana kwa taarfa



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna Mtanzania mwenye degree ya pure records management ambaye amesomea vyuo vya Tanzania. Labda mwakani chuo cha utumishi ndio kitatoa. So ukitaka pure RM nenda chuo cha utumishi tu.

Asante kwa ushauli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ushaambiwa mzumbe..so fanya kutafuta mwenyewe ujue ni mzumbe ya wapi..usipende kutafuniwa kila kitu kijana

Ni vyema kuuliza mtu kama anajua ananielekeza tu mbn unakuwa mtu wa aina hiyo mkuu ikatae hiyo hali


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…