GE2025 Recho Kiogwe: Kudai ‘reforms’ sio sababu ya kususia uchaguzi

GE2025 Recho Kiogwe: Kudai ‘reforms’ sio sababu ya kususia uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mtia nia wa ubunge Jimbo la Mkinga mkoani Tanga kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Wakili Msomi Recho Kiogwe, amesema historia ya kudai mabadiliko ya kisiasa nchini ni ndefu na haikuwahi kuambatana na ususiaji wa chaguzi, hivyo anapinga hoja ya kususia uchaguzi kwa kisingizio cha kudai ‘reforms’.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza siku ya Jumapili katika mkutano wa hadhara katika mwendelezo wa Operesheni CHAUMMA for Change (C4C), mkoani Tanga, Recho amesema kuwa madai ya marekebisho ya kisiasa yamekuwepo tangu miaka mingi iliyopita na kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, lakini hakuna wakati kuliletwa ajenda kususia chaguzi kama njia ya kudai mabadiliko hayo.
 
Mtia nia wa ubunge Jimbo la Mkinga mkoani Tanga kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Wakili Msomi Recho Kiogwe, amesema historia ya kudai mabadiliko ya kisiasa nchini ni ndefu na haikuwahi kuambatana na ususiaji wa chaguzi, hivyo anapinga hoja ya kususia uchaguzi kwa kisingizio cha kudai ‘reforms’.

Akizungumza siku ya Jumapili katika mkutano wa hadhara katika mwendelezo wa Operesheni CHAUMMA for Change (C4C), mkoani Tanga, Recho amesema kuwa madai ya marekebisho ya kisiasa yamekuwepo tangu miaka mingi iliyopita na kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, lakini hakuna wakati kuliletwa ajenda kususia chaguzi kama njia ya kudai mabadiliko hayo.
Kwa kuwa mnao uhakika wa jimbo na majimbo songa mberee,waache ambao wanayomadai halali,wayadai vile inafaa.
 
Back
Top Bottom