Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Wakuu habari za leo?
Nimekuwa nikisikiliza mazungumzo ya watu wengi na hasa wanawake wakiongelea kitu kiitwacho "reception" ama sura.Wamekuwa wakizitunza kwa gharama kubwa sana sura zao na wakati mwingine wamekuwa wakisema usiniharibu reception nisije nikawa sifuatwi na wanaume nk.
Lakini leo nawaletea ka utafiti nilikokafanya mwenyewe kwa muda mrefu. Kwamba mwanamke aweza kuwa anakuja kutokea mbele kisha akatokea kwenye kundi la wanaume. Wakishamwona amejitokeza mbele yao wanaume wote huinamisha vichwa chini ama huangalia pembeni yaani huwa hawamwangalii usoni.
Lakini akishawapita wanaume hao watamwangalia mpaka atakapopotelea yaani upeo wa macho yao yatakapoacha kumwona. Halafu wakati keshawapita utawaona wakimsifia uzuri wake sana.Lakini wakati akija kwa mbele hawakuwa wakimsifia mpaka alipowapita.
Sasa na mimi nawauliza na ninyi je reception ya mwanamke ipo mbele ama nyuma?
Hilo ni swali tuchangie
Nimekuwa nikisikiliza mazungumzo ya watu wengi na hasa wanawake wakiongelea kitu kiitwacho "reception" ama sura.Wamekuwa wakizitunza kwa gharama kubwa sana sura zao na wakati mwingine wamekuwa wakisema usiniharibu reception nisije nikawa sifuatwi na wanaume nk.
Lakini leo nawaletea ka utafiti nilikokafanya mwenyewe kwa muda mrefu. Kwamba mwanamke aweza kuwa anakuja kutokea mbele kisha akatokea kwenye kundi la wanaume. Wakishamwona amejitokeza mbele yao wanaume wote huinamisha vichwa chini ama huangalia pembeni yaani huwa hawamwangalii usoni.
Lakini akishawapita wanaume hao watamwangalia mpaka atakapopotelea yaani upeo wa macho yao yatakapoacha kumwona. Halafu wakati keshawapita utawaona wakimsifia uzuri wake sana.Lakini wakati akija kwa mbele hawakuwa wakimsifia mpaka alipowapita.
Sasa na mimi nawauliza na ninyi je reception ya mwanamke ipo mbele ama nyuma?
Hilo ni swali tuchangie