Hawa vijana walifanya vizur sana walikokua kwa mkopo, japo Rayo ilishuka daraja ila Diego alifanya vizur tu, wanasatahili kubwa uzi mweupe msimu ujao!!
Nategemea Zizou kutumia maamuzi ya busara, maana kuna tetesi kuwa amepewa jukumu la usajili msimu huu. Kama kweli Perez akikaa pembeni kwenye mambo ya ufundi itakuwa poa tu.
Huo uwezekano unaweza kuwepo, sababu nimeona Kila Perez akiulizwa kuhusu usajili anamtupia zigo Zizou., Ngoja tusubiri harakati ya usajili zikipamba moto, kwanza ninasubiri kuona kama De Gea atasajiliwa kabla ya hiyo tarehe iliyotajwa hapo juu..
Hasa yule Jorge Mendes, anakuwa tajiri kwa ufitina tu. Yule jamaa ni manipulative sana, umesema kweli, sasa nimegundua nani ndio yuko nyuma ya hizi drama kwenye media.