Nawapongeza barca kwa kutwaa ubingwa wamestahili,kwa madrid kuchukua ubingwa leo ilikuwa ni maajabu kuliko ukwel lakini kwa barca kukosa ingekuwa ni ujinga kuliko ukweli....naona kuna kikubwa chakujifunza next time....bado tuna kombe letu la heshima zaidi dunian tunaenda kulichua hapo tarehe 28...hala madrid