Upo sahihi kabisa mkuu....benzema nje ya 18 leo kacheza vzr ila akiingia kwenye 18 anakosa utulivu...bale leo anabinukabinuka tu...hapa aingizwe jesse au lucas.....timu kwa ujumla haitakiwi kurudi nyuma...maana kuna kama dakika kumi hv tulirudi nyuma afu tatizo tukirudi nyuma timu inapoteza uelekeo kabisa....