Man hawa jamaa hawajashinda last ten games in all competition. Sevilla kapiga nje ndani kwenye Copa del Rey. Sisi tuko na kina Cristiano wanacheza mpira mbovu lakini untouchable, This team kills me man
Man hawa jamaa hawajashinda last ten games in all competition. Sevilla kapiga nje ndani kwenye Copa del Rey. Sisi tuko na kina Cristiano wanacheza mpira mbovu lakini untouchable, This team kills me man
Ni kweli usemacho Cr7 hatutendei haki juu ya ubora wake dhidi ya service anayoioffer kwa timu. Lakini naona Kroos kafanya kazi nzuri sana iliyotendewa haki na James ikimaliziwa na Karim
Ni kweli usemacho Cr7 hatutendei haki juu ya ubora wake dhidi ya service anayoioffer kwa timu. Lakini naona Kroos kafanya kazi nzuri sana iliyotendewa haki na James ikimaliziwa na Karim
We should win this game, stupid. Perez bora alete strikers pale mbele, huyu Ronaldo doesn't do anything kumamae. Anakosa magoli wakati yuko kwenye target kabisa
We should win this game, stupid. Perez bora alete strikers pale mbele, huyu Ronaldo doesn't do anything kumamae. Anakosa magoli wakati yuko kwenye target kabisa