Real Madrid (โ€ŽLos Blancos) | Special Thread

Madrid analinga Sana ,nafasi yenu anachukua Arsenal ...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
huwezi kwenda kucheza michuano ambayo ata yanga ana possbility kubwa ya kuja kushiriki yani Brand ya Real madrid leo iende kutumika kukuza Brand za vilabu vidogo kirahisi tu mimi naona sawa tu leo Real madrid bahati mbaya akitoka kaangukika kundi moja na mamelody atayekunufaika zaidi ni mamelody mara milioni kuliko Real madrid ata ikitokea Real madrid atashinda Goli nyingi afu pia naona perez analeta mgomo sababu ya Uhuni waliofanya FIFA kwenye kuipinga super leauge
Madrid analinga Sana ,nafasi yenu anachukua Arsenal ...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona sasa mmekubali Tena mtacheza?๐Ÿ˜‚
 
Mzee Perez popote ulipo, Kijana Calafiori wa Italia ndio mtu sahihi wa kucheza na Rudigar kwenye Backline Msimu unaofata, Militao ni mtego, Alaba ameshapoteza ubora wake.
 
Mzee Perez popote ulipo, Kijana Calafiori wa Italia ndio mtu sahihi wa kucheza na Rudigar kwenye Backline Msimu unaofata, Militao ni mtego, Alaba ameshapoteza ubora wake.
Tumia akili.

Nacho bado yupo.
 
FLORENTINO PEREZ'S INTELLIGENCE IN ALPHONSO DAVIES' TRANSFER DRAMA

1. Davies has 1 year remaining on his contract with Munich and Munich wants to sell Davies for โ‚ฌ80 million

2. Real Madrid offered โ‚ฌ50 million but Munich rejected Real Madrid's offer.

3. Real Madrid approached Davies personally and Real Madrid reached a verbal agreement with Davies

4. Because of this verbal agreement, Davies does not want to be sold to a club other than Real Madrid.

5. Munich was forced to comply with Real Madrid's offer of โ‚ฌ50 million.

6. But Real Madrid refused and offered again at โ‚ฌ30 million. If Munich refuses, Real Madrid will wait for a free transfer.

7. Currently, Munich is having a headache, leaving Davies at โ‚ฌ30 million or not getting anything, like PSG who rejected โ‚ฌ200 million from Real Madrid and in the end got nothing.

Perez huu ni mafia na nusu

 
Halafu unaweza ukashangaa akijiunga na Real Madrid analipwa chini ya mshahara aliokuwa anautaka kwenye club yake ya awali.
 
Aritz Adorrs : โ€œ in the game against Real Madrid I hit Pepe on the head and Sergio Ramos came to me and say โ€œ Do you want to leave the pitch with the lift or with the Ambulance choose one" I said why are you asking the question like this Sergi " He said โ€œ Because Pepe said I should ask you "

I was scared and I went to the coach and ask him to sub me off and the coach said โ€œ we're out of substitute " then I went to Sergio Ramos and I saidโ€œ I want to leave the pitch with the lift โ€ Sergio Ramos smile at me and ran to Pepe to tell him what I said , few minutes later My teammates passed the ball to me and I saw Pepe and Sergio Ramos came to me " I only remember when I fall and when I wake up I was at hospitalโ€

That was my last game as Football player "

Gangsters ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜

 
Nimesikia unahodha anapewa Modric
Sio unasikia, ndio mtiririko ulivyo, club ina utaratibu wake jinsi ya mchezaji kuwa Nahodha, kwamba aliyehudumu muda mrefu ndani ya club ndio anapewa hiyo hadhi, na wasaidizi wake wanapatikana hivyo hivyo.
Msimu uliopita tulikuwa na Nacho, Modric, Dani na Kroos., hapo wameondoka wawili.
So Luka ndio atakuwa captain sasa akisaidiana na Dani Cavarjal., kisha atafuata Lucas Vazquez., Valverde Courtois na Vinicius Jr.
Mtiririko upo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ