Hii game ilikuwa ngumu sana, jamaa kipindi cha kwanza walicheza na kuzuia vizur sana, ila kipindi cha pili team yetu iliimarika sana, ni ushindi mwembamba ila tumechukua point 3 muhimu!!
Jumamosi ijayo Atletico wajipange !! mwendo na ule ule!!
#HalaMadrid!!