HT: Tumecheza hovyo...safu ya ulinzi ni kama vile kuna wakat inapigwa na baridi...inajisahau sanaaa...mbele kule huyu bwana mdogo Vin ana mambo mengi ambayo siyo ya hekima wakat mwenye uzoefu benzema ni hovyo ilihali bale sijui anafanya nini uwanjan....Kroos anakimbia hadi anaacha mpira nyuma anapoteza mipira sana...nafikri benzema atoke aingie Lucas na bale atoke aingie Isco disco..
HT: Tumecheza hovyo...safu ya ulinzi ni kama vile kuna wakat inapigwa na baridi...inajisahau sanaaa...mbele kule huyu bwana mdogo Vin ana mambo mengi ambayo siyo ya hekima wakat mwenye uzoefu benzema ni hovyo ilihali bale sijui anafanya nini uwanjan....Kroos anakimbia hadi anaacha mpira nyuma anapoteza mipira sana...nafikri benzema atoke aingie Lucas na bale atoke aingie Isco disco..