Mourinho hivi ana attacking plan kweli?first half inaishi striker hana attempt hata moja?wakifikanlwenye box ndo kwanza wanapiga passes kama wao ni Barcelona vile
HT:So far tumecheza vzr....dakika 10 za kwanza hatukuwa tumetulia...tuliwapa kiburi,baada ya kiungo kutulia mambo yakawa vyema...Isco amefanya kaz kubwa sana pamoja na viungo wengine...Casemiro kapiga kazi nzuri sana japokuwa naona ana kitambi kwa mbali...amekuwa mzito kidgo....as time goes on atabadilika nina imani....bale hajaonyesha kipya akifanyiwa sub ni sawa tu sanjali na benzema....akiingia Ronaldo na Lucas V tutaimarika zaidi...
Mourinho hivi ana attacking plan kweli?first half inaishi striker hana attempt hata moja?wakifikanlwenye box ndo kwanza wanapiga passes kama wao ni Barcelona vile
Mourinho hivi ana attacking plan kweli?first half inaishi striker hana attempt hata moja?wakifikanlwenye box ndo kwanza wanapiga passes kama wao ni Barcelona vile
Kuhusu lukaku nilisha comment kitambo modern football its not about kupiga peke yake inahusisha zaidi kuanda,kutengeneza na ku control Lukaku sifa ambazo hana me nadhani Ibra Cadrabra Man U wanatakiwa tu wampe mkataba tena
Kuhusu lukaku nilisha comment kitambo modern football its not about kupiga peke yake inahusisha zaidi kuanda,kutengeneza na ku control Lukaku sifa ambazo hana me nadhani Ibra Cadrabra Man U wanatakiwa tu wampe mkataba tena
Sisi formation yetu ni ku attack attack hadi uchanganyikiwe ndani ya dk 6 tunakunywesha goli 3 ,formation wanayocheza Man U inasababisha beki yenu iwe relaxed sana na waonekane watu