Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wakati Messi akiwa na mabao 11 kuingia hatua ya robo fainali CR7 alikuwa na mabao 2 tofauti goli 9 ila mwisho wa UCL CR7 kaondoka na kiatu. Baada ya kujiongezea mabao dhidi ya Bayern 1st leg 2 2nd leg 3, kisha wakaja ATM akawadungua 1st leg 3 na akamalizia Juve Final 2.
Kweli kutangulia siyo kufika, halafu CR7 katupia magoli hatua ambayo ni ngumu maana ukishaingia mtoano huko ni kukutana na mabingwa kweli siyo kwenye makundi unakutana na timu ilikuwa ya tatu au nne kwenye ligi yao unawakandamiza magoli. Kama naiona Ballon d'or.
Wale waliotamani iende kwa GIGI sijui wamejificha wapi.
 
Mmeisikia hii wana Madrid, hope ni tetesi tu

Manchester United are lining up a world record £100m bid for Gareth Bale after turning their backs on Antoine Griezmann.
Wachukue tu huo mtumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…