Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
-
- #22,001
ZZ anasema benz na varane walitolewa sababu ya injury, mbona kama list ya injuries inakua kubwa James, Casemiro, Marcelo, Modric, Varane, and Benz still kuna international break you never know but kidogo inatia hofu
Mkuu mwenyew hapa nimeshikilia tu pb, hii ngoma ibaki hiv hiv!!nipo nawacheki celta na barca, celta wanaongoza moja lets hope matokeo yabaki hivi hivi
nipo nawacheki celta na barca, celta wanaongoza moja lets hope matokeo yabaki hivi hivi
Mkuu mwenyew hapa nimeshikilia tu pb, hii ngoma ibaki hiv hiv!!
Ila tumeshindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, hiki ndio kinachoniuma zaid
Ni kweli Mkuu, ndio maana nimesema hapo kuwa tunashindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, msimu uliopita walituacha wakati team yetu haifanyi vizur, na sisi tunatakiwa tufanye hivyo pia ili tuwe na uhakika wa kchukua la ligaWe need to win our games, hii tabia ya kutegemea our rivals wafungwe hatuwezi kuchukua ubingwa. Last season ilikuwa hivi hivi wamepoteza mechi sisi badala ya kuchukua gape, tukawa tuna-draw tu at the end tukakosa ubingwa kwa point moja.
Kama tungeshinda tungeongeza gape maana mtaa wa pili wameambulia kichapo ndo hvyo tena still tumempita pointi mbili, ila hii international break timu ijitafakar vzr na zizou aje na plan B ya kutafuta ushindi maana anaanza kutuzngua tyuu.Ni kweli Mkuu, ndio maana nimesema hapo kuwa tunashindwa kutumia madhaifu ya wenzetu, msimu uliopita walituacha wakati team yetu haifanyi vizur, na sisi tunatakiwa tufanye hivyo pia ili tuwe na uhakika wa kchukua la liga
Get well soon and get back strongly to action,Hala Madrid.Modric [Instagram]
Basketball Results!!
Real Madrid 142-137 OKC Thunder
Shukran za kipekee kwa Sergio Llull kwa mtupo wake wa point 3 zilizopelekea kufangana point.
Isco hataki kuongeza mkataba, ufafanuz wakuu