Real Estate business?

bado ndo kwanza ina grow ila challenge kubwa ni capital lakin asikwambie mtu eti inahitaji 4 bil coz unaeza kua broker ukawa unalist tu property za watu then ukala commision. Ila ukiwa na capital ya kutosha ukawa unabuy na ku develop properties we uko next level ila watu wengi washaona hii opportunuty so wanarush huko mfano akina Patrice Ngowi na Bakresa. Kwa mwanzo ni ngum na competition bado iko chini.
 
Jee unataka kuwa Real estate broker?
Agent ?
Developer?
Mortgage broker ?

Pia kuna nyanja za Property management na valuation
Sasa uchague ipi ulokusudia ku ingia..lakini zote zinalipa , ila sheria ya upande wa agent na brokers hakuna. Ni soko bangi, fujo na utapeli. Ni soko ambalo uwe ngangari kweli kwani unaweza fanya kazi na landlord akakutia ndani , na hakuna sheria kwa sasa inayo kulinda ...lakini job safi
 
Wakuu, vipi kuhusu hii biashara kibongobongo? Prospects zake zikoje? Inalipa au bado haina nguvu sana? Naona watu wengi wanaiongelea ongelea.
Ndio inatuweka mjini, sasa sijuwi mwenzetu tayari una kiwanja au viwanja, nyumba majumba?! Kama ndio start-up usiogope, kila kitu nia, at least ukiondoka hapa mother earth wachache watakukumbuka kwa hili.
Karibu benki zote zina mortgage, uwe na kiwanja chenye hati (sehemu inayolipa), kazi ya kudumu au biashara yenye leseni na kipato kizuri cha kuweza kulipa mkopo, anza na moja, jenga pangisha, halafu utafika hata ikichukuwa miaka kadhaa..kama ni kujenga na kuuza nyumba basi utapata ushauri mbeleni..
Karibu kwenye hii biashara.
N.B: Kuna link nying tu za mortgage calculator za benki ya bongo mtandaoni ujihakiki cha uwezo wako..
 
Jee unataka kuwa Real estate broker?
Agent ?
Developer?
Mortgage broker ?

Pia kuna nyanja za Property management na valuation
Sasa uchague ipi ulokusudia ku ingia..lakini zote zinalipa , ila sheria ya upande wa agent na brokers hakuna. Ni soko bangi, fujo na utapeli. Ni soko ambalo uwe ngangari kweli kwani unaweza fanya kazi na landlord akakutia ndani , na hakuna sheria kwa sasa inayo kulinda ...lakini job safi
Tofauti ya agent na broker ni ipi mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom