Kwenye botany weka vitabu, hii simu inanichanganya kujieditcjakusoma
Unasoma upate hiyo PhD ili iwe nini?
PhD tulionao mbona hawana jipya lolote zaidi kubaki na majina tu kuwa wana phd?
Acha kupoteza muda wako, matajiri wengi duniani hawana PhD
Hata me sina PhD lkn nna watu zaidi ya 50 waendesha maisha yao kwa ajili yangu,
More practicalDon't go to school, read books and become wiser and richer
Go to school, pass your exams, and become a hard nut, know all and poorer!
Habari zenu wakuu ? Nina swali moja nataka kushare nanyi. Kwa mtu anaetaka kuwa nondo kwenye field fulani? Kipi bora ? Kusoma masters na kufanya PHD kabisa ? Au kusoma vitabu kwa wingi na ikiwezekana kufanya primary researches ? Mimi naamini kusoma vitabu na kufanya primary researches is far much better than going for masters or PHD .. What do u think ?
Kwani lazima ukaajiriwe?Hiyo ni bora zaidi ila haikuongezei CV... Hivyo vyeti vya postgraduate vina umuhimu wake kwenye soko la ajira
Unajua asili na maana PhD. PhD haina maana ya utajiri na ukiona mtu anaPhD halafu yeye ni tajiri hiyo ni fake. PhD maana yake ni free quality service to the world.Unasoma upate hiyo PhD ili iwe nini?
PhD tulionao mbona hawana jipya lolote zaidi kubaki na majina tu kuwa wana phd?
Acha kupoteza muda wako, matajiri wengi duniani hawana PhD
Hata me sina PhD lkn nna watu zaidi ya 50 waendesha maisha yao kwa ajili yangu,
Uko sahihi mkuu, kupata PHD haimaanishi una elimu, ila umepata cheti kulingana na taratibu za hiyo field. Lakini knowledge ipo vitabuni mkuuHabari zenu wakuu ? Nina swali moja nataka kushare nanyi. Kwa mtu anaetaka kuwa nondo kwenye field fulani? Kipi bora ? Kusoma masters na kufanya PHD kabisa ? Au kusoma vitabu kwa wingi na ikiwezekana kufanya primary researches ? Mimi naamini kusoma vitabu na kufanya primary researches is far much better than going for masters or PHD .. What do u think ?