gilbert14
Senior Member
- Oct 17, 2014
- 117
- 17
Rea ndo nn haya ni maneno ya wanakijiji huko arusha nasikitika kwa mbunge wa arumeru bw nassari kushindwa hata kulipigania jimbo lake kupata nishati kiukwel watanzania tumeshindwa kiongozi bora au uropokaji bora ndio maendeleo nasikitika sana amna mzuri kwenye hii serekali