Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
- Thread starter
- #21
kaka kuhusu maoni yako nakuunga mkono 100 kwa 100.mkuu hapa unamaanisha zitengenezwe sub forums mbili za comp na mobile jumla subforums ziwe tatu na hiyo ya downloadz, kisha hili lililopo liwe changanyikeni yaani unapost chochote iwe gearbox, ndege inapaaje, vingamuzi nk. Naunga mkono hoja.Pia ikiwezekana mods watafute utaratibu humu kuna thread zipo very useful waziweke sticky.Na mwisho kuwepo na option ya kuongeza neno SOLVED katika heading ya thread kwa muuliza swali, mfano nimeuliza pc yangu inagoma hiki, nikipewa solution naikaondoa tatizo basi niwe na option ya kuongeza neno SOLVED katika heading ya thread yangu.Nimaoni tu