je betri zake zinapatikana au ndio nianze kutembea na charger kokote niendako..ngoja nipitie posta nikipata duk linalouza genuine nitakuchek tufanye biznessipo e52 kwa bei poa used vp unahitaji ila battery sio original bei ni 130,000/=
mi nataka kati ya simu aina tajwa hapo juu, zenye button nying,slide, huwa sina interest nazo
Natafuta simu 1 Kati ya hizi either nokia e52 or e55 yenye kila kitu( earphone,charger,USB cable na if possible cd yake). Na kama ipo napata kwa sh. Ngapi?uki ni pm itakua jambo la kheri.