Mkuu MSC in IT then unatafuta kazi, sijui ulibase wapi but I guess ungekuwa na projects kibao unatafuta watu wa kufund sio unatafuta job, MSC in IT then electronics yani wewe ungekuwa full, electronics kwenye hardware na hiyo IT kwenye software umemaliza. Ushauri wangu, tengeneza projects then tafuta watu wa kukufund utatoka!